Namna ya kutengeneza Banners, posters,brochures

Namna ya kutengeneza Banners, posters,brochures

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
2,846
Reaction score
2,511
wakuu nahitaji njia za kupitia kujifunza namna ya kutengeneza banners brochures na posters mana ofisin kwangu kuna printers na mwenyew namiliki laptop pia kuna desktop za ofisin sasa huwa napenda kujua vingi katika maisha yangu nikaona hili lisinipite
pia nahitajika kuwa na programme ipi kati ya hizi adobe photoshop, Microsoft Excel, Microsoft Word au ipi yoyote
 
banners brochure za namna hii
images%20(3).jpg
Screenshot-2019-03-03-12.45.01-155x300.jpg
 
Unawesa kutumia kati ya photoshop , illustrator au indesign.... mimi huwa natumia indesign zaidi ..hasa kutengenezea magazeti
 
wakuu nahitaji njia za kupitia kujifunza namna ya kutengeneza banners brochures na posters mana ofisin kwangu kuna printers na mwenyew namiliki laptop pia kuna desktop za ofisin sasa huwa napenda kujua vingi katika maisha yangu nikaona hili lisinipite
pia nahitajika kuwa na programme ipi kati ya hizi adobe photoshop, Microsoft Excel, Microsoft Word au ipi yoyote
Mkuu tafta Adobe Photoshop,na Adobe InDesign
 
Mkuu tafta Adobe Photoshop,na Adobe InDesign
mkuu niunganishe na dogo yoyote mzuri nitamlipa hela kidogo kwa hizo programe mbili mana nahitaji ani brush juu juu katika kutengeneza hizo vitu
 
KWA YEYOTE ANAEMFAHAMU MTU ANAEWEZA KUNIFUNDISHA HIZI PROGRAME TATU KWA JUU JUU TU VINGINE NITAPIGANA NAVYO MIMI ANIUNGANISHE NAE
 
KWA YEYOTE ANAEMFAHAMU MTU ANAEWEZA KUNIFUNDISHA HIZI PROGRAME TATU KWA JUU JUU TU VINGINE NITAPIGANA NAVYO MIMI ANIUNGANISHE NAE

Umeshauriwa pia uende youtube.. ukiwa mjuzi wa kusechi humo utaanza kupata kujua inakuwaje.. hata kabla ya kukutana unayemtafuta wa kukufundisha.

Haya mambo yanahitaji sana mtu uwe wa kujiongeza mwenyewe pia
 
Umeshauriwa pia uende youtube.. ukiwa mjuzi wa kusechi humo utaanza kupata kujua inakuwaje.. hata kabla ya kukutana unayemtafuta wa kukufundisha.

Haya mambo yanahitaji sana mtu uwe wa kujiongeza mwenyewe pia
shukran mkuu
 
Mheshimiwa Waziri na MB wangu..
Heshima kwako
 
Back
Top Bottom