MSONGA The Consultant
Member
- Feb 5, 2022
- 31
- 48
Kwa Taasisi ambazo zina utaratibu huu, hugawa wafadhili wao katika makundi makuu matatu mpaka manne; mfano; wafadhili wadogo, wafadhili wa kati na wafadhili wakubwa.
Kumshawishi mfadhili (individual supporter) akuandikie hundi kwa ajili ya uendeshaji wa miradi na programu za Taasisi inahitaji muda na mkakati; ili kumshawishi kwa mafanikio zingatia yafuatayo;
- Mhusika(mfadhili) asiwe mtu mgeni kwako au kwa Taasisi yako, au awe ameonyesha shauku juu ya kile ambacho Taasisi yako inafanya au juu ya mradi unaotaka kuufanya.
- Hakikisha kiasi cha pesa unachomuomba kipo ndani ya uwezo wake.
- Mshawishi kinagaubaga kwa kumueleza kwanini pesa yake ni muhimu kwa Taasisi/mradi, na itatumikaje pia matokeo yanayotarajiwa ni yapi
OMAR MSONGA (BA. PPM &CD)
CONSULTANT
Project Management, Strategy, Fundraising & Training
Call: +255 719 518 367
Email: omarmsonga8@gmail.com
DAR ES SALAAM
TANZANIA