Namna ya Kumkanda mama aliyejifungua

Mkuu salaam,

Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.

1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.

2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.

3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.

4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.

5)Muogeshe vizuri na apumzike.


6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.


7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima

Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!
 
Hongera kwako na mkeo.
Chemsha maji, yachemke haswa.
Chukua taulo, chovya majini.
Bandika taulo tumboni mwa mama sehemu ya chini, kisha kanda ukielekea maeneo ya juu (kuelekea kifuani)
 
Mkuu salaam,

Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.

1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.

2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.

3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.

4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.

5)Muogeshe vizuri na apumzike.


6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.


7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima

Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!
AISEE HONGERA KWA HUU USHAURI NIMEJIFUNZA JAPO SI MIMI NILIEULIZA NI MUDA UMEPITA NAAMINI
 
Mkuu salaam,

Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.

1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.

2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.

3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.

4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.

5)Muogeshe vizuri na apumzike.


6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.


7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima

Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!


Kwa nini anapswa akandwe?
 
KUKANDA KAZI NGUMU SANA
NUNUA KONDOO
KATA MKIA CHUKUA MAFUTA YAKE ANYWE
ATAHARISHA UCHAFU WOTE NDANI YA WEEK ATAKUWA OK
PIA KUNA NGOZI YA NGOMBE ATAZUNGUSHIA KIUNONI KAMA WEEK TUMBO LOTE LINARUDI
NAONA UVIVU KUANDIKA NINGEKUAMBIA VIZURI UNGEENDA VINGUNGUTI TU PALE AU MKOANI MACHINJIO YOYOTE ILA NDO HVO AM TIRED
 
Naomba msaada, mke wangu kajifungua na niko mbali na ndugu, je nimkandeje? Maji yaweje? Nikande maeneo yepi?
Umkande kwa maji ya moto yenye chumvi umkande tumboni unaroweka taulo kwenye maji ya moto yenye chumvi kisha unamkanda tumboni utakuwa unamkanda asubuhi na jioni kw amuda wa siku 7
akisha maliza kuoga mfunge kanga tumboni ili lipate kurudi tumbo dogo kama la zamani kwa muda wa siku 40 kila anapo maliza kuoga mfunge kanga tumbo ikaze .Uwe unamtengenezea supu ya kuku yenye pilipli kali na uji wa pilipli mtama kwa siku 40 ili aweze kunyonyesha na kutoka maziwa kwa wingi. Kichwani mwake kwenye nywele mwambie afunge pini aweke kichwani isitoke kwa muda wa siku 40.Pini ya mtoto ya kufungia chupi au nepi itasaidia kumlinda na mapepo wachafu wasiweze kumsogelea. Asubuhi akisha maliza kuoga mpikie uji wa pilipli mtama na mchana umpikie supu ya kuku yenye pilipili mtama kwa wingi.
 
KUKANDA KAZI NGUMU SANA
NUNUA KONDOO
KATA MKIA CHUKUA MAFUTA YAKE ANYWE
ATAHARISHA UCHAFU WOTE NDANI YA WEEK ATAKUWA OK
PIA KUNA NGOZI YA NGOMBE ATAZUNGUSHIA KIUNONI KAMA WEEK TUMBO LOTE LINARUDI
NAONA UVIVU KUANDIKA NINGEKUAMBIA VIZURI UNGEENDA VINGUNGUTI TU PALE AU MKOANI MACHINJIO YOYOTE ILA NDO HVO AM TIRED
Science ya wapi hii? Hivi kuna muingiliano kati ya womb na stomach/large intestine. Najaribu ku connect tumbo la uzazi na tumbo la kuharisha! Unaotoka ni uchafu wa wapi?
 
Mkuu salaam,

Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.

1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.

2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.

3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.

4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.

5)Muogeshe vizuri na apumzike.


6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.


7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima

Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!

Hongera maelezo yamejitosheleza kabisaa
 
nimeamini we masikini sana ndugu wapo mbali sana hata majirani wanaojua hawapo, ish na watu vzur
 
KUKANDA KAZI NGUMU SANA
NUNUA KONDOO
KATA MKIA CHUKUA MAFUTA YAKE ANYWE
ATAHARISHA UCHAFU WOTE NDANI YA WEEK ATAKUWA OK
PIA KUNA NGOZI YA NGOMBE ATAZUNGUSHIA KIUNONI KAMA WEEK TUMBO LOTE LINARUDI
NAONA UVIVU KUANDIKA NINGEKUAMBIA VIZURI UNGEENDA VINGUNGUTI TU PALE AU MKOANI MACHINJIO YOYOTE ILA NDO HVO AM TIRED
dah!
 
Siku hizi haya mambo ya kukanda yanakatazwa hospital. Mkuu muwe mnahudhuria kliniki
 
Back
Top Bottom