Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,879
- 155,849
Naomba msaada, mke wangu kajifungua na niko mbali na ndugu, je nimkandeje? Maji yaweje? Nikande maeneo yepi?
Naomba msaada, mke wangu kajifungua na niko mbali na ndugu, je nimkandeje? Maji yaweje? Nikande maeneo yepi?
AISEE HONGERA KWA HUU USHAURI NIMEJIFUNZA JAPO SI MIMI NILIEULIZA NI MUDA UMEPITA NAAMINIMkuu salaam,
Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.
1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.
2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.
3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.
4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.
5)Muogeshe vizuri na apumzike.
6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.
7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima
Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!
Mkuu salaam,
Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.
1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.
2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.
3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.
4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.
5)Muogeshe vizuri na apumzike.
6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.
7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima
Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!
Umkande kwa maji ya moto yenye chumvi umkande tumboni unaroweka taulo kwenye maji ya moto yenye chumvi kisha unamkanda tumboni utakuwa unamkanda asubuhi na jioni kw amuda wa siku 7Naomba msaada, mke wangu kajifungua na niko mbali na ndugu, je nimkandeje? Maji yaweje? Nikande maeneo yepi?
Science ya wapi hii? Hivi kuna muingiliano kati ya womb na stomach/large intestine. Najaribu ku connect tumbo la uzazi na tumbo la kuharisha! Unaotoka ni uchafu wa wapi?KUKANDA KAZI NGUMU SANA
NUNUA KONDOO
KATA MKIA CHUKUA MAFUTA YAKE ANYWE
ATAHARISHA UCHAFU WOTE NDANI YA WEEK ATAKUWA OK
PIA KUNA NGOZI YA NGOMBE ATAZUNGUSHIA KIUNONI KAMA WEEK TUMBO LOTE LINARUDI
NAONA UVIVU KUANDIKA NINGEKUAMBIA VIZURI UNGEENDA VINGUNGUTI TU PALE AU MKOANI MACHINJIO YOYOTE ILA NDO HVO AM TIRED
Mkuu salaam,
Nimeona umeuliza suala muhimu nikaona si busara kwangu kupita pasi na kukupa uzoefu wangu,kifupi mi si Daktari bali nina uzoefu na hili ikizingatiwa kuwa mimi ni mzazi.
1)Chemsha maji kwaajili ya kumuogesha mkeo,weka maji kiasi kwaajili ya kumkandia na kumsafisha maeneo muhimu.
2)Kwanza anza kumkanda maeneo ya tumboni taratibu taratibu kwa kukandamiza hasa eneo la tumbo la uzazi kushuka chini,fanya hivyo mara kadhaa then endelea kuzunguka nyonga zake halafu mgongoni na maeneo ya mbavu hizi huwa zina wauma wanawake kwasababu hutumia nguvu nyingi katika kupush mtoto.Pia unaweza kuwa unamuuliza maeneo mengine anakohisi maumivu mkande,fanya kwa upole na upendo ili asijisikie kama hasaidiwi,ila usikubali yeye akuambie uache kwa kuwa mkikosea hapo itamletea shida baadae.
3)Wakati wa kukanda utaona kuna uchafu mzito unamtoka maeneo ya sehem zake za siri,ni uchafu wa kawaida na unatakiwa umkande mpaka uchafu huo utakapo koma si wastani wa siku 30 ama zaidi,uchafu huo huwa unanuka sana lakini kama utakuwa unamsafisha vizuri baadae harufu itakuwa ya kawaida na si kali sana,mvumilie mkeo ndo tunda hilo kakuletea.Msafishe walau mara 2 kwa siku hasa asubuhi na jioni wakati wa kwenda kulala.
4)Pia msafishe sehem zake za siri kwa pamba ambayo utailoweka kidogo kwenye maji,ingiza ndani kwenye sehem zake za siri na kusafisha kwa taratibu mpaka unapoona pamba unayoingiza inatoka ikiwa safi no usaha wala damu.Fanya hivyo daily mkuu na njia nzuri ya kusafisha nyeti zake muweke ajilaze kitandani then atanue miguu ndipo fanya maelekezo ya juu.
5)Muogeshe vizuri na apumzike.
6)Kwakuwa katika kipindi hiki mama huitaji kupumzika kwa muda wa kutosha jitahidi basi pia unamsaidie kufanya kazi nzito nzito mfano;-msaidie kufua nguo zake,nguo za mtoto na usafi ambao unadhani huwa ni lazima afanye yeye kama usafi wa chumba.
7)Mkuu mwisho hakikisha mama anapata vyakula vya majimaji lakini vya moto moto,kama supu,uji wenye pilipili manga ili imsaidie kutoa maziwa ya mtoto na hakikisheni mtoto mnamfunika muda wote,mtoto hasikii joto kama mtu mzima
Baada ya kusema hayo,napena kukupa HONGERA za dhati za moyo wangu,Mwenyezi Mungu akupeni hekima katika kumlea mtoto wenu,naamini utamvumilia mwenzio mpaka siku arobaini zitakapokwisha.Simamia vema nyumba yako na usiruhusu yeyote kuharibu malengo yako kwa familia yako.Simama Imara!God bless you!!
dah!KUKANDA KAZI NGUMU SANA
NUNUA KONDOO
KATA MKIA CHUKUA MAFUTA YAKE ANYWE
ATAHARISHA UCHAFU WOTE NDANI YA WEEK ATAKUWA OK
PIA KUNA NGOZI YA NGOMBE ATAZUNGUSHIA KIUNONI KAMA WEEK TUMBO LOTE LINARUDI
NAONA UVIVU KUANDIKA NINGEKUAMBIA VIZURI UNGEENDA VINGUNGUTI TU PALE AU MKOANI MACHINJIO YOYOTE ILA NDO HVO AM TIRED