Namna ya kujaza form online ya TaeSA

Namna ya kujaza form online ya TaeSA

Libunda

Member
Joined
Sep 17, 2019
Posts
88
Reaction score
80
Naomba kuuliza namna ya kujaza hichi kipengele Kweny form za TaeSA online..Namjazia ndugu yng shida ni hapo kipengele Cha mobile phone..Natakiwa kuandika namna gani?Nisaidie tafadhali
Screenshot_20220208-145919_1.jpg
 
Naomba kuuliza namna ya kujaza hichi kipengele Kweny form za TaeSA online..Namjazia ndugu yng shida ni hapo kipengele Cha mobile phone..Natakiwa kuandika namna gani?Nisaidie tafadhaliView attachment 2113234
Nakushauri uende ofisi zao ujaze fomu kabisa. Itakuwa rahisi pia wao kukusaidia kupata nafasi mapema.

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sehemu ya kwanza unaweka namba yako unayoitumia muda wote, sehemu ya pili unaweka namba yako ya ziada.
 
andika hizo namba bila kuacha nafasi anza na 2557657 na +255878 au 2550768 au 255 756 787
 
Naomba kuuliza kdg, ukimaliza kuijaza ile form ya TAESA kuna mahala pa kufanya submission? Au unaijaza tu then ukimaliza basi ndio imeisha hiyo...
 
Back
Top Bottom