Namna ya ku unlock screen ya Iphone

langolajiji

Member
Joined
Aug 1, 2017
Posts
10
Reaction score
1
Nataka namna ya ku fungua pass code ya screen ya iPhone.

Nataka nifanye hivyo bila kupoteza data. Zamani ilikuwa rahisi kufungua kwani aliweka date of birth naona imebadilishwa sasa screen lock imekuwa maneno.

Muhim sana. Nikiingia Mara moja you bas hata abadiliahe tena kwangu sio muhim nitakuwa na access whatsapp hata kwa remote via laptop yangu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si umuombe tu,kama Hanna tatizo atakupa.
 
Hakuna option zaid ya kupiga chini hilo file na kuweka jipya na hata hyo bado itakudai apple id..hapo ndo utagundua iPhones are there for smart people..so kwa lugha nyepes bila ridhaa yake ni itakua daydream
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…