Namna ya ku-block sms

Namna ya ku-block sms

SpyBoy

New Member
Joined
Dec 3, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Naomba Mwenye uelewa jinsi ya ku-block SMS zinazoingia kwenye sim bila Namba ...

Kwa mfano Alert za polisi, mtumaji husomeka POLISI bila Namba kuonekana

Ninachohitaji sasa hapa "Ni Jinsi ya Ku-Block sms" maana kuna watu Wanatumia mtindo huo kutuma SMS kwa watu ambazo hazina maadili kabisa

Karibu kwa Mwenye ujuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia TrueCaller mkuu
Naomba Mwenye uelewa jinsi ya ku-block SMS zinazoingia kwenye sim bila Namba ...

Kwa mfano Alert za polisi, mtumaji husomeka POLISI bila Namba kuonekana

Ninachohitaji sasa hapa "Ni Jinsi ya Ku-Block sms" maana kuna watu Wanatumia mtindo huo kutuma SMS kwa watu ambazo hazina maadili kabisa

Karibu kwa Mwenye ujuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom