Naomba Mwenye uelewa jinsi ya ku-block SMS zinazoingia kwenye sim bila Namba ...
Kwa mfano Alert za polisi, mtumaji husomeka POLISI bila Namba kuonekana
Ninachohitaji sasa hapa "Ni Jinsi ya Ku-Block sms" maana kuna watu Wanatumia mtindo huo kutuma SMS kwa watu ambazo hazina maadili kabisa
Karibu kwa Mwenye ujuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano Alert za polisi, mtumaji husomeka POLISI bila Namba kuonekana
Ninachohitaji sasa hapa "Ni Jinsi ya Ku-Block sms" maana kuna watu Wanatumia mtindo huo kutuma SMS kwa watu ambazo hazina maadili kabisa
Karibu kwa Mwenye ujuzi
Sent using Jamii Forums mobile app