Namna COVID19 inavyotuathiri Mabaharia

herman joshua

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
1,962
3,189
Kulingana na swala la gonjwa hili la civid 19 mukusanyiko mbalimbali imezuiliwa ili kuthibiti kuenea kwa hili gonjwa hatari la covid 19
Misiba imekuwa n mingi afu ya kishua ambayo kwa siku za nyuma tulikuwa tunafaidika nayo ila now days hali imechange kutokana na kutoruhusiwa mkusanyiko ko mabaaria wengi wanakosa fursa ya kisoro (msosi) ambapo hapo nyuma ilikuwa inatusogeza hata kwa wiki nzima tukila kisolo cha msibani ila cku hz ali imekuea siyo kabisa
cku hz sherehe hakuna kabisa hata zikiwepo ni za watu wakuhesabika ko baharia huweziingia kirahis hvyo tunakosa fursa ya kupata hata ukoo
ko hali ni mbaya tuombe MUNGU hili gonjwa lipite turudi kwenye hali zetu za zaman
kwa Mabaharia wenzangu
 
Kulingana na swala la gonjwa hili la civid 19 mukusanyiko mbalimbali imezuiliwa ili kuthibiti kuenea kwa hili gonjwa hatari la covid 19
Misiba imekuwa n mingi afu ya kishua ambayo kwa siku za nyuma tulikuwa tunafaidika nayo ila now days hali imechange kutokana na kutoruhusiwa mkusanyiko ko mabaaria wengi wanakosa fursa ya kisoro (msosi) ambapo hapo nyuma ilikuwa inatusogeza hata kwa wiki nzima tukila kisolo cha msibani ila cku hz ali imekuea siyo kabisa
cku hz sherehe hakuna kabisa hata zikiwepo ni za watu wakuhesabika ko baharia huweziingia kirahis hvyo tunakosa fursa ya kupata hata ukoo
ko hali ni mbaya tuombe MUNGU hili gonjwa lipite turudi kwenye hali zetu za zaman
kwa Mabaharia wenzangu
Hii ndio Afrika.
Watu wanapona kwa misiba ya wenzao,
Sasa Corona imewaumbua.
Inabidi mujiongeze ,mule kwa jasho lenu mabaharia wa nchi kavu.
Ile hali haita rudi tena kwa karibu maana hali za watu kiuchumi zime change.
Wengi baad ya korona kuondoka ,tutaendelea kutumia mfumo huu huu wa kikorona korona ili kubana matumizi.
 
Usijali mkuu, siyo mabaharia pekee mlioathirika na Corona, hata hao washua wameathirika pia, maana huko nyuma wakipata malaria walikuwa wanatibiwa India, South Africa, Ujerumani nk, lakini sasa tunapishana nao kwenye korido za Mloganzira
 
Back
Top Bottom