Namkumbuka lakini simtamani

Namkumbuka lakini simtamani

Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.

Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.

Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.

So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.

Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.

Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.

Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.

Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.

Just memories
dushee vepe
anajua kukudinya vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mm nkahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi za kukutana kwan muda si mrefu yeye anaanza likizo.

Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu nnasomea hapa Dar umbali ukawa tatzo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kias kwamba hata kama nipo darasan sjapokea smu yake au kumjbu sms yake lazma tugombane.

Nkamvumlia lakn kubwa ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi mpenz wangu yule akanpgia nam nkapokea nkamsalmu vzur lakn nkamtaka radh, nkamwambia nipo nanunua chakula na hapo nilipo pana kelele hivi kias kwamba simsikii vzur.

So, anipe dak.5 ntampgia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kuntukana na kunsema npo na ma bwana zangu nkajarbu kumuelewesha lakini nltwanga maj kwenye kinu.

Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chps zikantumbukia nyongo nkajiliza paleeee mpaka kulipokucha.

Nikapga sm na kutuma sms sku nzma lakn hakupokea wala nn ikawa bila bila nkagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kuptlza, nkampotezea.

Hapo sasa yeye akaanza kurud kwangu lakn mm skuw tyar. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtaman.

Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhtaj tena.

Just memories


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bado sijamaliza kitabu...
ahahahahahhahahhha na bado hujafika mwisho sio?
nasubiiiiiiiriiii
Kaizer usiseme hujaambiwa kuwa shemeji yuko chapter one!
na we mekukumbuka!ila na kukutamani humo humo!
MI STAKI MAMBO YA SITAKI NATAKA!
eti we ushasikia x ijui z anakumbukwa bila kutamaniwa mwanafunzi wangu?
PSYUUUUUU!
 
ahahahahahhahahhha na bado hujafika mwisho sio?
nasubiiiiiiiriiii
Kaizer usiseme hujaambiwa kuwa shemeji yuko chapter one!
na we mekukumbuka!ila na kukutamani humo humo!
MI STAKI MAMBO YA SITAKI NATAKA!
eti we ushasikia x ijui z anakumbukwa bila kutamaniwa mwanafunzi wangu?
PSYUUUUUU!
I love you too shemela...

Najua umenielewa na utalifanyia kazi hili jambo...

Hapa naandika nikiwa Mamsera
 
u miss the moment and how they made u feel when u were with him back in the days, na sio kua umemmiss yeye sasa ivi, ivo n vitu viwili tofauti sana, u cant recreate the past, just appreciate it happens. upo sahihi kabisa just memories, we all go through it sometimes..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom