LENGEJU BOB
Member
- Nov 1, 2010
- 53
- 29
Hawa jamaa walikuwa watano tu, vipi vywa bunge viliwaka moto!
mwelekeo wa sasa waonyesha upo uwezekano wakafika 100 (including viti maalum)
Lakini hebu pata picha hawa jamaa wakiwa 50 tu, pale Bungeni, halafu itolewe hoja dhidi ya ufisadi na List ya walioomba kuchangia ni hii hapa
1.Zitto
2.Mbowe
3.MPendazoe
4.Halima Mdee
5.JOHN shibuda
6.JOHN mnyika
7.KIBOKO NYERERE
8.GODBLESS LEMA
9.NDESAMBURO
10.LYTONGA MREMA
11.TUNDU LISU
.
.
.
.
.
PATA PICHA!
mwelekeo wa sasa waonyesha upo uwezekano wakafika 100 (including viti maalum)
Lakini hebu pata picha hawa jamaa wakiwa 50 tu, pale Bungeni, halafu itolewe hoja dhidi ya ufisadi na List ya walioomba kuchangia ni hii hapa
1.Zitto
2.Mbowe
3.MPendazoe
4.Halima Mdee
5.JOHN shibuda
6.JOHN mnyika
7.KIBOKO NYERERE
8.GODBLESS LEMA
9.NDESAMBURO
10.LYTONGA MREMA
11.TUNDU LISU
.
.
.
.
.
PATA PICHA!