Namba zinazotumia GB WhatsApp na Yo WhatsApp zafungiwa kutumia Whatsapp

Namba yoyote ilokuwa inatumika katika Whatsapp Plus tulipataga ban ya 24 hrs, waliotengeneza Whatsapp Plus ndo waliounda GBWhatsapp....

Nadhani hlo ndo tatizo.
Yes inawezekana kabisa, kwenye simu yangu nilikuwa pia na GBWhatsapp
 
Namba yoyote ilokuwa inatumika katika Whatsapp Plus tulipataga ban ya 24 hrs, waliotengeneza Whatsapp Plus ndo waliounda GBWhatsapp....

Nadhani hlo ndo tatizo.
Hapa ulikuwa na hyo Whatsapp plus peke yake au ulikuwa na hizo zote mbili??
 
Mkuu jaribu kuinstall Yowatsapp. Nadhani hawa hawana uhusiano.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…