Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,554
- 2,158
Habari za masiku wana JF? kwa mwana JF mwenye mapenzi mema na Tanzania taarifa hii si ya kupuuza! endapo unataka kusajili No.ya chombo cha motoitakubidi usubiri kwa muda hadi No. hizi zenye historia ya chama kilichotufikisha hapa tulipo ziishe ina maana mpaka vyombo 900 visajiliwe!!! kwani No.za usajili zimefikia T xxx CCM. utakujashindwa kuliuza/kuendesha au laweza kukuletea MATATIZO! SHIME SHIME TUZIGOMEE No.hizo!