Kichaa wele
Member
- Dec 19, 2016
- 9
- 0
Duuuh things are hot
Namba zote za simu zimefanyiwa usajili. Comrade Waziri "wa kulinda raia na mali zao" wanajf wanataka mchango wako juu ya hili. Je mmiliki wa hiyo namba ameshatakiwa kulisaidia jeshi la polisi kwenye upelelezi, uchunguzi?
Umetafakari kwa kina. UbarikiweNamba zote za simu zimefanyiwa usajili. Comrade Waziri "wa kulinda raia na mali zao" wanajf wanataka mchango wako juu ya hili. Je mmiliki wa hiyo namba ameshatakiwa kulisaidia jeshi la polisi kwenye upelelezi, uchunguzi?
Mwambie ajaribu kupiga hiyo nambaTOKA ADHARANI UPIGE KELELE....SI NYUMA YA KEYBOARD
Hapa amejitokeza rafiki mmoja wa Ben. Soma aliyoyaandika na tafakari. Sasa tumsaidie Waziri aweze kumtafuta na kumpata rafiki yake.Lakini aliyempigia simu ni rafiki yake! Naam rafiki akimtonya! Sasa ni nani alikuwa rafiki yake hadi kwenye familia?? Jibu hatuna????
ndio.KWA HIYO SERIKALI NDIO IMEANDIKA HII MASSAGE, SERIKALI NINI??? YAANI IYO MESSAGE PENGINE ALITUMIWA TUU ILI KUPOTEZA MWELEKEO NA KINACHONDELEA, HAKUNA SERIKALI INAYOMTISHIA MTU KWANI UKITAKIWA HATA HAWATAANGAIKA KUKUTISHA, WANAKUBEBA TUU KAMA MWEWE BILA KUJUA NI NANI KAKUBEBA,
WATU WAACHE KIJIFICHA KWENYE KIVULI CHA SERIKALI, KWANI KWELI BEN ANAWEZA KUYUMBISHA SERIKALI YENYE JESHI, USALAMA WA TAIFA, VIFARU IKAMTISHIE MTU AMBAYE HATA SI CHOCHOTE, ACHENI HAYO MAMBO JAMANI
tunawasiwasi na wewe na group lako maana tumefuatilia msg zako zimeshabiana.Utii wa sheria bila shuruti
Ni Mwigulu Nchemba hata yeye mwenyewe alisema bila kigugumizi kuwa alikuwa akiwasiliana na Ben hadi wiki hiyo aliyepotea! Na hadi familia ya mwigulu inamjua Ben saanane!! Need you dig mo?Lakini aliyempigia simu ni rafiki yake! Naam rafiki akimtonya! Sasa ni nani alikuwa rafiki yake hadi kwenye familia?? Jibu hatuna????
kwa hiyo zimefutwa na nani?Ushahidi ni Facebook page ya Saanane mwezi ulopita aliyaandika haya ingawa post zote alizopost October kuhusiana na PhD ya mhe zimefutwa zote jana.
chadema ni chama cha kikristoKati ya vitu vinavyokera ni kutumia maandiko katika mambo ya kipuuzi.. SWALI LANGU NI KWAMBA KWANINI CHADEMA MNAPENDA KUTUMIA MAANDIKO YA BIBLIA MUDA WOTE...??? KWANINI MSITUMIE NA QURAN TUKUFU PIA.. IT SEEMS LIKE NYIE NI WADINI SANA KULIKO SIASA...
Mnakera sana.. wapumbavu wakubwa nyie.. keep separate btn religion and political matters... Do supply fact on political issues USING POLITICAL LANGUAGE and not those quotation from the holy BIBLE... Mnawafanya watu wawaone kuwa ni chama cha kidini... ABSOLUTELY STUPIDITY... ONDOENI HIZI MAMBO ZENU BHANA..
bora jamaa yako angezidi tu kutawala muhula mwengine licha ni dhaifu kuliko huyu bweghii ishu kumbe iko serious eeh......
kwa akili zako fupi unataka kusema hiyo sms ametumiwa na mtu wa serikali? hahaha kweli chadema ni chama cha malofa...hivi kweli kuna mtu kweli anaweza fanya ufala kama huo? hivi mtu apange kumzuru mtu alafu amtumie sms ya kumtisha....hahahah hizi massage mnatumiana wenyewe halafu mnajidanganya hahahhahahaKwa msaada, hii post aliiandika ben saananeView attachment 449297
HawajuiSafari inaendelea. Vitisho.Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku.Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko
Kuna watu hawa miongoni mwa wengi .Yeye anaandika " Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata.Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu .You are too young to die. Tunajua utaandika na hili.Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha.Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
He's such a coward.Muoga.Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu
Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.
Haya tunasonga mbele Watanzania.Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.
As long as tupo hai,Sauti zetu hazitakoma.Tutaandika,Tutasema,Tutahutubia na tutafanya vitendo
Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai,watesaji,wakandamizaji wa haki.Watetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji,unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani
Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania.Nina Mwaka Mmoja bado .He faught the right cause.Alikuja Duniani kimungu.Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu.Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake.Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake?Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.
Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki.Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo,nikapona kwa fadhila zake Muumba.Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu.Wanajisumbua!Nimeishi beyond that favour
Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania.I love you more than words can wield the matter,dearer than eyesight,space and Liberty.Oh I love you Tanzania.My Pride ,My fountain of inspiration."
Mlale salama marafiki zangu wapendwa.
Mapambano na Yaendelee,Ushindi U Dhahiiri(Aluta Continua,Victory Ascerta)
Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo.Hukukopa,Ulijiandaa kulipa gharama.Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.
Ben Saanane
NB:
Ndugu Mwigulu aje hapa na atwambie amefanya juhudi gani kufwatilia hii namba iliyomtishia maisha Ben Saanane.
Kama taarifa iliripotiwa police na kukatiwa RB, wamechukua hatua gani tangu kipindi taarifa ilivyotolewa hadi kupotea kwake?
Dola isituzunguke. Itwambue Ben Saanane yupo wapi na wasijaribu kutupoteza maboya kwa kumshikilia Lissu
#WeNeedBenAlive#
Hawezi kuja maana akija mutaunganisha na wale saba waliochinjwa na kuzikwa kama mbwaMwigulu Nchemba njoo ujibu hili
Registered name of the number is Emanuel Joseph. Any mark of the person?Safari inaendelea. Vitisho.Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku.Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko
Kuna watu hawa miongoni mwa wengi .Yeye anaandika " Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata.Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu .You are too young to die. Tunajua utaandika na hili.Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha.Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
He's such a coward.Muoga.Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu
Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.
Haya tunasonga mbele Watanzania.Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.
As long as tupo hai,Sauti zetu hazitakoma.Tutaandika,Tutasema,Tutahutubia na tutafanya vitendo
Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai,watesaji,wakandamizaji wa haki.Watetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji,unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani
Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania.Nina Mwaka Mmoja bado .He faught the right cause.Alikuja Duniani kimungu.Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu.Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake.Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake?Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.
Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki.Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo,nikapona kwa fadhila zake Muumba.Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu.Wanajisumbua!Nimeishi beyond that favour
Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania.I love you more than words can wield the matter,dearer than eyesight,space and Liberty.Oh I love you Tanzania.My Pride ,My fountain of inspiration."
Mlale salama marafiki zangu wapendwa.
Mapambano na Yaendelee,Ushindi U Dhahiiri(Aluta Continua,Victory Ascerta)
Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo.Hukukopa,Ulijiandaa kulipa gharama.Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.
Ben Saanane
NB:
Ndugu Mwigulu aje hapa na atwambie amefanya juhudi gani kufwatilia hii namba iliyomtishia maisha Ben Saanane.
Kama taarifa iliripotiwa police na kukatiwa RB, wamechukua hatua gani tangu kipindi taarifa ilivyotolewa hadi kupotea kwake?
Dola isituzunguke. Itwambue Ben Saanane yupo wapi na wasijaribu kutupoteza maboya kwa kumshikilia Lissu
#WeNeedBenAlive#
Kuishi ni Kristo kufa ni faidaSafari inaendelea. Vitisho.Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku.Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko
Kuna watu hawa miongoni mwa wengi .Yeye anaandika " Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata.Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu .You are too young to die. Tunajua utaandika na hili.Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha.Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
He's such a coward.Muoga.Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu
Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.
Haya tunasonga mbele Watanzania.Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.
As long as tupo hai,Sauti zetu hazitakoma.Tutaandika,Tutasema,Tutahutubia na tutafanya vitendo
Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai,watesaji,wakandamizaji wa haki.Watetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji,unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani
Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania.Nina Mwaka Mmoja bado .He faught the right cause.Alikuja Duniani kimungu.Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu.Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake.Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake?Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.
Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki.Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo,nikapona kwa fadhila zake Muumba.Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu.Wanajisumbua!Nimeishi beyond that favour
Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania.I love you more than words can wield the matter,dearer than eyesight,space and Liberty.Oh I love you Tanzania.My Pride ,My fountain of inspiration."
Mlale salama marafiki zangu wapendwa.
Mapambano na Yaendelee,Ushindi U Dhahiiri(Aluta Continua,Victory Ascerta)
Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo.Hukukopa,Ulijiandaa kulipa gharama.Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.
Ben Saanane
NB:
Ndugu Mwigulu aje hapa na atwambie amefanya juhudi gani kufwatilia hii namba iliyomtishia maisha Ben Saanane.
Kama taarifa iliripotiwa police na kukatiwa RB, wamechukua hatua gani tangu kipindi taarifa ilivyotolewa hadi kupotea kwake?
Dola isituzunguke. Itwambue Ben Saanane yupo wapi na wasijaribu kutupoteza maboya kwa kumshikilia Lissu
#WeNeedBenAlive#