karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
wadau habari zenu.naombeni mtu yeyote mwenye namba za huyu mama maana nina shida muhimu sana.namaanisha namba za simu ya mkononi
0784 17627
namba haijakamilika mbona?naomba uiangalie upya halafu unitumie tena
jamani tujifunzeni kuwa wawazi na tuache utani usio na maana.mtu anafanya utani kwenye mambo ya maana.kweli sijafurahishwa na kutumiwa namba za uongoWanajamii folum acheni masihala nyie amjui mwenzenu ana shida gani labda anaitaji msaada wa kisheria katika mambo ya msingi nyie mnafanya utani wengine wana matatizo makubwa sana . Sasa kama wewe unatoa namba za utani kama auna si ungepita tu kimya kimya