Namba ratiba ya FIFA U20 world cup finals 2017 Korea.

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Wakuu, pana michuano ya FIFA U20 inayofanyika huko Korea Kusini. Michuano hii ni mizuri mno ila ratiba yake inanichanganya kwani hata watangazaji wetu wa radio na TV wamejikita kwenye timu za EPL. Kwenye ratiba inayoonesha saa kwa Afrika Mashariki aitupie hapa. Natanguliza shukran.
 
Aksante TV 1 kwa kutuhabarisha muda wa mechi. Mie nilidhani ni mechi moja tu kwa siku.
 
Back
Top Bottom