Namba ngeni imenitumia hela

erickjunior Karibu JF sitaki kuamini Kama hujui utaratibu wa kufuata kwenye ishu Kama hiyo.. Iweke wazi hiyo number tukusaidie kumtrace mwenyewe la sivyo hii yaweza kuwa story ya kutunga
kma inshu ni namba useme mbna nakupa na hata kabla kuna mtu alikosea akanitumia credit then akanipgia that amekosea nimrudishie na nilimrudishia inshort sinaga time na vitu vya mtu
 
Last edited by a moderator:
kma inshu ni namba useme mbna nakupa na hata kabla kuna mtu alikosea akanitumia credit then akanipgia that amekosea nimrudishie na nilimrudishia inshort sinaga time na vitu vya mtu

Una roho ya pesa wewe na zinakupenda in short ni mvuto wa aina fulani hivi
 

Gharama inakuja na iko njiani unaalikwa moja kwa moja na fisadi Lowasa kwenye maandamano ya kufanya fujo na kufanya nchi isitawalike, hivyo kama kweli unajipenda usiitumie na iweke Benki mpaka muda mwenyewe atakuja na usipokubaliana naye basi umrudishie tu!
 
iseee......
 
Yaani bado tu hujaitoa!? Kweli CCM imewafanya watu hadi kufikia ulafa kama huu wa kuuliza dhahabu process plant ya Bulyanhulu!?
 
ushauri wangu. hiyo hela usiitumie tigo wataichukua watamrudishia.
inaweza ikawa ni mtu uko nae mtaani au ofisini anaangalia uaminifu wako
 
ushauri wangu. hiyo hela usiitumie tigo wataichukua watamrudishia.
inaweza ikawa ni mtu uko nae mtaani au ofisini anaangalia uaminifu wako
Sio tigo, ni airtelmoney. na leo inakua siku ya 4 bila mhusika kujulikana na apatikani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…