Wandugu juzi mchana kuna namba imetuma pesa kwenye airtemoney yangu, imeanza kutumwa shs.1,00000, kisha kma baada ya dk 1 ikatumwa shs.50,000.
Mtumiaji simfahamu ni namba ngeni kwangu, nikajua moja kwa moja amekosea namba.
Mikatulia ningoje anipgie aanzee kujielezea jinsi alivyokosea na kutaka nimrudishie hizo pesa.
Wandugu ilikua mida ya saa tisa mchana mpka sasa hiyo namba aijanitafuta kwa vyovyote mpka sasa!
Na pesa zote bado ninazo kwenye airtel money, sasa sielewi imekuaje hi?
Nimejaribu kuiifatilia namba iliotuma pesa nimegundua sina uhusiano nayo kwa vyovyote sielew maana yake wakuu.