comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,402
- 17,123
UmeelewajeHamna lolote wasiwasi wako tuu watanzania bado hawajafikia huko woga umetamalaki
Sisi ndio wazembeChui mwenyewe mgumu kufa.
Nimeelewa kuwa umeingiwa woga kabl vita haijapigwaUmeelewaje
Si tumekubaliana tar 29/10 tunamvukisha maji auSisi ndio wazembe
Haujaelewa, nazungumzia ninavyoona mambo yanavyoendaNimeelewa kuwa umeingiwa woga kabl vita haijapigwa
tukishindwa hapo TUTAITA MAJI MMA, HIYO NDIO LAST BULLETSi tumekubaliana tar 29/10 tunamvukisha maji au
Kama tutafanikiwa kupasua mtu sitaondokaMkuu Utanipitia uyole apa kama tunaenda kasumuru Malawi au nakonde Zambia
Pole sanaHaujaelewa, nazungumzia ninavyoona mambo yanavyoenda
Pole pamoja nawewePole sana
Kabisa kama nchi ipo katika hali hii vp akiongeza miaka mingine mitano??tukishindwa hapo TUTAITA MAJI MMA, HIYO NDIO LAST BULLET
Ni huzuniKabisa kama nchi ipo katika hali hii vp akiongeza miaka mingine mitano??
Me nataka apasuke mtu comredKama tutafanikiwa kupasua mtu sitaondoka
Umoja ndio unaotakiwaMe nataka apasuke mtu comred