Naliona anguko la Chadema Kalenga

Naliona anguko la Chadema Kalenga

Abdull Kazi

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
344
Reaction score
306
Kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la kalenga zimeanza huku chadema wakizindua kampeni zao jana uzinduzi uliofanywa na katibu mkuu wa chama hicho Dk Wilbrod Slaa.

Ni kampeni zitakazochukua muda wa wiki tatu huku picha zilizo katika baadhi ya magazeti yakionyesha umati wa watu ukishiriki katika uzinduzi huo

Ni umati unaoridhisha ukiuangalia kwa macho tena unaleta marimaini

Bahati mbaya wengi walio katika umati huo si wapiga kura wa kalenga na wengine wakiwa wametoka Dar

Kama hali hiyo ya mkusanyikovitaendelea na cdm kutokufanya jitihada za kuwahamasisha wanakakenga wenye shahada ya kupiga kura kukipigia chama hicho ni wazi ushindi utakuwa mgumu kwao,hali jama hii pia ilijitokeza katika uchaguzi mdogo wa kata ya magomeni bagamoyo ambapo waliotoka Dar walikuwa wanahudhuria zaidi mikutano ya kampeni kuliko wapiga kura ni wakati wao wa kuliangalia hili kabla mambo hayajaharibika
 
We ndio mrithi wa shekhe Yahaya ama tungoje mwingine?

Godfrey ana laana ya baba yake...
 
Tunakuomba shehe Yahaya ututabiria na suala la muungano,baada ya bunge la katiba tutarajie ujio wa serikali ngapi????
 
Kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la kalenga zimeanza huku chadema wakizindua kampeni zao jana uzinduzi uliofanywa na katibu mkuu wa chama hicho Dk Wilbrod Slaa.

Ni kampeni zitakazochukua muda wa wiki tatu huku picha zilizo katika baadhi ya magazeti yakionyesha umati wa watu ukishiriki katika uzinduzi huo

Ni umati unaoridhisha ukiuangalia kwa macho tena unaleta marimaini

Bahati mbaya wengi walio katika umati huo si wapiga kura wa kalenga na wengine wakiwa wametoka Dar

Kama hali hiyo ya mkusanyikovitaendelea na cdm kutokufanya jitihada za kuwahamasisha wanakakenga wenye shahada ya kupiga kura kukipigia chama hicho ni wazi ushindi utakuwa mgumu kwao,hali jama hii pia ilijitokeza katika uchaguzi mdogo wa kata ya magomeni bagamoyo ambapo waliotoka Dar walikuwa wanahudhuria zaidi mikutano ya kampeni kuliko wapiga kura ni wakati wao wa kuliangalia hili kabla mambo hayajaharibika

Mbona haueleweki,ebu tupe ufafanuzi hao unaosema wametoka DAR je wamepelekwa na CDM? kama sio je ni wenyeji wa DAR waliokwenda Kalenga kusalimia? Bila ufafanuzi hii thread yako itakuwa ni UDAKU
 
Ume copy na ku paste....... huwez kuwa great thinker
 
Imeanza thread ya Anguko la ccm kalenga,sasa umeleta Anguko la chadema! Nadhani unalipiza wala huna jipya.kama mwenye akili timamu ungetumia mbinu nyingine.jambo dogo tu unashindwa kufikiri!
 
tuwekee picha ya mafuso yaliyosomba watu kutoka Dar es salaam .
 
mgombea wa ccm ni raia wa uingereza na anasubiri watu kutoka uingereza akina Lukosi ili azindue kampeni.
 
Alafu we umenikera sana,CDM imekufa ianguke mara ngapi?hawana mvuto tena Wachagga.
 
Chadema hebu kuweni na akili hata kwa dakika moja jamaa anawapa angalizo mnamtusi! Ninyi nadhan siasa hamuwezi mpaka mtakapo safisha midomo yenu kwa Dettol.
 
imeanza thread ya anguko la ccm kalenga,sasa umeleta anguko la chadema! Nadhani unalipiza wala huna jipya.kama mwenye akili timamu ungetumia mbinu nyingine.jambo dogo tu unashindwa kufikiri!

hana jipya huyu. Anakupi na kupesti. Amefulia
 
Masisiem kazi mnayoweza ni kukopi na kupesti tu. Ushuzi wa ngomani
 
Back
Top Bottom