Nakutafuta sana

Ndeke afwege

Senior Member
Joined
May 20, 2014
Posts
154
Reaction score
48
Anaitwa Najenjwa Elibariki alihitim mwaka jana CBE kwa mara ya mwisho tulionana morogoro yeye akiwa field TRA.... Kama unasoma ujumbe huu au mtu yeyote anayemfaham dada huyu naomba tuwasiliane. Aje Pm
 
Akipatikana nami mnitafutie Anuciata Mlay, amemaliza Korogwe TTC 2012 ama 13. Mara ya mwisho tumeonana Moshi akiwa likizo
 
Akipatikana nami mnitafutie Anuciata Mlay, amemaliza Korogwe TTC 2012 ama 13. Mara ya mwisho tumeonana Moshi akiwa likizo

ndo mimi anuciata looooo za siku jamani?

kisa na mkasa wa kuja kuandika jina langu huku ni nini ntasumbuliwa sasa.
 
ndo mimi anuciata looooo za siku jamani?

kisa na mkasa wa kuja kuandika jina langu huku ni nini ntasumbuliwa sasa.
Mbona tunatiana wivu sasa ina maana mimi jina lako la ukweli ninalolijua(sio la hapa ICHANA) umenidanganya?...

Na siku zote tunazokutana nje ya JF!....
 
Mbona tunatiana wivu sasa ina maana mimi jina lako la ukweli ninalolijua(sio la hapa ICHANA) umenidanganya?...

Na siku zote tunazokutana nje ya JF!....

u know wat hili jina la anuciata nilitumia kusomea ni la kiluga ujue la bibi mzaa baba yake na mjomba....sasa nilijabatizwa na kuitwa lile ambalo nimekuambia

usiwe na wasiwasi sijakudanganya jaman
 
Aah!?kumbe lishakuwa jukwaa la kutafutana,nami namtafuta claudia joseph,nilisoma nae monduli arusha
 
u know wat hili jina la anuciata nilitumia kusomea ni la kiluga ujue la bibi mzaa baba yake na mjomba....sasa nilijabatizwa na kuitwa lile ambalo nimekuambia

usiwe na wasiwasi sijakudanganya jaman
Call me or something ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…