Anaitwa Najenjwa Elibariki alihitim mwaka jana CBE kwa mara ya mwisho tulionana morogoro yeye akiwa field TRA.... Kama unasoma ujumbe huu au mtu yeyote anayemfaham dada huyu naomba tuwasiliane. Aje Pm
u know wat hili jina la anuciata nilitumia kusomea ni la kiluga ujue la bibi mzaa baba yake na mjomba....sasa nilijabatizwa na kuitwa lile ambalo nimekuambia
u know wat hili jina la anuciata nilitumia kusomea ni la kiluga ujue la bibi mzaa baba yake na mjomba....sasa nilijabatizwa na kuitwa lile ambalo nimekuambia