Nakuru Town vc Arusha city

Waulize wachagga wenzio wanaotegemea maisha yao Mwanza watakupa ukweli, co mmekaa kishabiki tu. Ebu weka miradi mliyonayo huko n then compare na mwz
mkoa wa mafukara 🤣🤣
tena tushukuruni tumekuja kuwachangamshieni mji wenu huo
bongo lalaz
sisi tupo popote hadi tukuyu
unavoona wachina wapo huku ujue hatuna wataalamu sio kwamba sisi ni matajiri kuliko wao

 
Katikati ya mji vinyumba vya kizamani, taa za barabara za miaka ebu tuambie zafanya kazi? 🤣

Arusha na mbeya zilinganishe, na siyo mwanza, baada ya dar ni mwanza
nyuma ya dar kwa kuzaliana 90% ya wakazi ni wabeja🤣🤣

hii ndio maana sasa ya mkoa maskini afrika ndio maana kila siku mnakimbilia kujilinganisha na Arusha

 
nyuma ya dar kwa kuzaliana 90% ya wakazi ni wabeja🤣🤣

hii ndio maana sasa ya mkoa maskini afrika ndio maana kila siku mnakimbilia kujilinganisha na Arusha

View attachment 2022842

Sasa huko milimani watakaa watu wenye hela ilhali hata miundombinu ya barabara za lami hazijawafikia!

Wewe utakuwa hujawahi fika mwz, nenda bwiru, capripoint, ilemela n.k. hayo maeneo ni pembeni ya mji, bei za nyumba capripoint hazishikiki. Za kupanga mpaka 2000 dollar's.

Huko arusha mnanini cha kutudanganyia!
 
Bro nahisi wewe ndio hujawah kufika Arusha

kama uko tayari kubishana kwa hoja bila ushabiki let's go man

Arusha is a diplomatic and tourism hub
unawezaje kujilinganisha na mwanza let's be serious man yani buhongwa nayo wanaishi matajiri 🤣🤣

















 
naona kakimbia jamaa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…