uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,504
- 27,287
Kuna siku nilikuwa naangalia kipindi cha cops nikaona jamaa amekamatwa na polisi kipindi anapelekwa kwenye gari akagundua mkewe anahusika na kukamatwa kwake jamaa akamwambia nakupenda mke Wangu mke akajibu Asante jamaa akamwambia nilidhani ungejibu Kama nilivyosema akaingizwa ndani ya gari siku nyingine niliangalia 24 mtoto alikuwa mgonjwa Sana na alikuwa anataka mama yake akae karibu yake mama alikuwa busy na masuala ya upelelezi kuzuia ugaidi akamwambia mtoto lazima aondoke mtoto akamwambia nakupenda mama akasema Mimi pia mtoto akamwambia kwa nini hujasema Kama mimi.je Kuna uhusiano wa neno hili na hisia za ndani za mtu ni sawa kupima Kama mtu anakupenda kwa kusikia neno hili Mara ngapi umemwambia mtu umpendae kwa sauti ya upendo kuwa nakupenda je alijibu vipi?karibuni.