Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,394
- 10,836
Duuuuh kama kwenye avatar ni ww, kwa moyo wote nasema nakupendaukiona hautamkiwi hilo neno jua haupendwi ww kuna mwenzio anayependwa
AsanteDuuuuh kama kwenye avatar ni ww, kwa moyo wote nasema nakupenda
Lini nikutoe out?Asante
huyo wa kwenye avatar sio mmLini nikutoe out?
Aaaaaaah mbona wapiga chenga, ni ww baña sema wataka kunibania, mm nakupenda banaahhuyo wa kwenye avatar sio mm
Sio mm halaf mm Nampenda wa kwangu tuAaaaaaah mbona wapiga chenga, ni ww baña sema wataka kunibania, mm nakupenda banaah
Sio mm halaf mm Nampenda wa kwangu tu
Mm etiiNakupenda, popote ulipo hili neno ni lako pekee
ilo neno ni rahisi kwako kulitamka lakini wengi wanachua mwaka mzima kujipanga na ku train jinsi gani ataliropokaIvi kumbe madomo zege huwa wanashindwa kusema neno nakupenda kaaah mbona hilo neno rahisi saña.