nakupenda na nakutakia usiku mwema

nakupenda na nakutakia usiku mwema

sawa mkuu, lala salama, uote unakula mifupa ya paka,uote unakimbizwa,pia uote unang'atwa na madhombi.
 
Watu ndio kwanza tunaamka we unatutakia usiku mwema tena?
 
Maandishi yake kweli yanaonesha anacnzia, kajisaidie ulale ndugu!
 
Jamani huu ugonjwa sijui kama una tiba...hebu tupatie picha ya hiyo movie!
images
Very interesting and true story !
 
duh, mie nimeshazima na taa, jf ndo inanichelewesha kusinzia, ok maisha mafupi, ukimaliza kuangali movie ulale unono
Shukraan Ram... kila la kheri, Uamkie utajiri kesho ! GOOD LUCK Good night...sweet dreams.
 
Na kwa wale ambao hatuna mpango wakulala mda huu
 

Attachments

  • 1389037477648.jpg
    1389037477648.jpg
    24.6 KB · Views: 355
Back
Top Bottom