Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 899
Wasalaam wakuu
1.Eneo hili liko nala kibaoni dodoma mjini
2.Eneo liko umbali wa kama kilomita 11/12 toka town centre
3.Eneo liko karibu kabisa na makazi
4.Eneo lina hati ya serekali ya mtaa/kijiji
5.Eneo liko umbali usiozidi kilomita 1.8/2 kutoka barabara kuu iendayo mwanza/tabora/singida
6.maji na umeme haviko mbali
7.Eneo linauzwa kama shamba na mnunuzi anaweza litumia kwa matakwa yake,mfano; makazi,biashara,n.k
8.Bei ya ekari moja ni milioni 1.6,nusu ekari laki 8 na robo ekari ni laki 4
9.mawasiliano zaidi 0767833496
NB;ukilinganisha bei ya ekari moja na kichwa cha habari basi utapata majibu kuwa bei hiyo ni sawa na bure ukilinganisha na mazingira ya eneo lilipo.Hii ni fursa ya kipekee kwa watu WAELEWA NA WANAOTAMBUA THAMANI YA ARDHI NA MUELEKEO WA BEI ZAKE DODOMA
1.Eneo hili liko nala kibaoni dodoma mjini
2.Eneo liko umbali wa kama kilomita 11/12 toka town centre
3.Eneo liko karibu kabisa na makazi
4.Eneo lina hati ya serekali ya mtaa/kijiji
5.Eneo liko umbali usiozidi kilomita 1.8/2 kutoka barabara kuu iendayo mwanza/tabora/singida
6.maji na umeme haviko mbali
7.Eneo linauzwa kama shamba na mnunuzi anaweza litumia kwa matakwa yake,mfano; makazi,biashara,n.k
8.Bei ya ekari moja ni milioni 1.6,nusu ekari laki 8 na robo ekari ni laki 4
9.mawasiliano zaidi 0767833496
NB;ukilinganisha bei ya ekari moja na kichwa cha habari basi utapata majibu kuwa bei hiyo ni sawa na bure ukilinganisha na mazingira ya eneo lilipo.Hii ni fursa ya kipekee kwa watu WAELEWA NA WANAOTAMBUA THAMANI YA ARDHI NA MUELEKEO WA BEI ZAKE DODOMA