kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Unataka kusema si riziki?huyu profeseri hana mke mtoto wala nyumba kijijini kwao..
duh
yahayaaa
yupo mjini kupiga mishe na ccm.
Unataka kusema si riziki?huyu profeseri hana mke mtoto wala nyumba kijijini kwao..
duh
yahayaaa
yupo mjini kupiga mishe na ccm.
Tusaidie kama unayo!Hivi mnayajua majina ya watoto wa Lipumba?
huyo ni muislam popote atakapofariki anastahiri kuzikwaNi aibu kwa mwanasiasa huyu umri wake uko jioni sana kiza kimeanza kuingia cha ajabu hakuna hata sehemu ya kuweka Jeneza lake yeye mwenyewe.
Huu ni Ushauri ambao Mimi nakuasa ukajenge kibanda kule Ilolanguru ili kije kikusitiri nitakuona wa ajabu kama utazikwa Makaburi ya Kinondoni kama Kanumba na Thomas Mashali Tafadhari rudi ukarabati kibanda.
huyo ni muislam popote atakapofariki anastahiri kuzikwa
Kuweni kama watu wa Kilimanjaro na Arusha.it's lipumba again.
..si mchezo hope ujumbe umemfikia....ila hili suala ni kwa wote jamani tujitahidi kuweka sawa vijijini kwetu
Huyu jamaa nasikia anaye mke, kama sikosei mkewe anafanya kazi UNICEF nimemsahau jina lkn ni somebody Mtenga.......Hana mke kweli kweli au aliwahi kuwa na mke
Kwani huko Sikonge unakotaka akajenge siku akifa atazikwa hapo alipojenga ama atazikwa kwenye eneo la makaburi ya uma?
Na hata kama atajenga ama asijenge mara baada ya kufa atafaidika na nini au ataarika kwa kiwango gani?
Sasa mbona mnatuchanganya , Tangu lini mkazi wa Buguruni akahangaikia Tabora .Ni aibu kwa mwanasiasa huyu umri wake uko jioni sana kiza kimeanza kuingia cha ajabu hakuna hata sehemu ya kuweka Jeneza lake yeye mwenyewe.
Huu ni Ushauri ambao Mimi nakuasa ukajenge kibanda kule Ilolanguru ili kije kikusitiri nitakuona wa ajabu kama utazikwa Makaburi ya Kinondoni kama Kanumba na Thomas Mashali Tafadhari rudi ukarabati kibanda.
Unacheza na mademu wa kinyarwanda wewe .Kweli kabisa aisee! Bwana yule anatia aibu sana. Ukiachilia mbali kutokuwa na nyumba yake pale ilolangulu pia yupo kaka yake ukimuona tu sura wala hauulizi lakini cha ajabu kaka yake anaishi maisha ya dhiki kuu akiwa hana shughuli yoyote ya kufanya.
Jamaa kakomaa kulala Buguruni na kupiga fedha za magamba huku ndugu zake wananuka dhiki na wala hajali