Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
- Thread starter
- #41
kwa sababu masikini anaishi bila ya stress ukilinganisha na hao matajiri. Wao wameambiwa ni vigumu kuuona ufalme wa Mungu. Hivyo wanawaza zaidi utajiri wao kulio utu(roho ya Mungu)hivi ni kwa nini maskini huwa mna uwezo wa kukumbuka mambo mengi namna hii kuliko matajiri?