Mbona taarifa hazijakamilika funguka masharti ya mkopo yapoje,ofisi ilipo n.k
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
mwache mwenzako afanye biashara, au umelewa kashata?Hahahaha,kuna watu jana walitaka kutoa wazo la biashara jamaa anunue.
Sasa hapa najua wataku Pm na kukupigia muda sio mrefu.Maana kwa pesa za namna hiyo huwakosi
Ila ungewafamisha kwa umekuja lini kutoka Mombasa?