Nakodisha mashamba mkoa wa Rukwa

50,000 kwa ekar yanafaa kwa mahindi, maharage alizet na viaz vitamu unyevu upo wa kutosha ila pembezon kuna mto pia karibu
 
50,000 kwa ekar yanafaa kwa mahindi, maharage alizet na viaz vitamu unyevu upo wa kutosha ila pembezon kuna mto pia karibu
Vipi kuhusu vitunguu maji huwa vinakubali.
 
Ndiyo vinakubal huduma ya maj ipo kuna zamu ya umwagiliaj ukifka msimu na ni bure
 
Habarin wakuu!

Nakodisha mashamba mkoa wa Rukwa wilaya ya kalambo kijiji cha katuka karibu uwekeze kwenye kilimo kama upo interested mawasiliano yangu haya hapa 0766665515
Nahitaji ya kununua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…