Januari 8 naingia katika ndoa panapo majaliwa nataka ushauri pamoja na nasaha.
unaoa kabira gani?
tuanzie hapo kwanza.
je umejiandaa kulea mimba za wanachuo/wafanyakazi/ma ex wake!
...ntarudi badae kuchukua kadi ya harusi!
Januari 8 naingia katika ndoa panapo majaliwa nataka ushauri pamoja na nasaha.
Januari 8 naingia katika ndoa panapo majaliwa nataka ushauri pamoja na nasaha.
Ukishaoa utulie sasa. Usianze mambo ya kuchepuka chepuka au kuendekeza pombe... Kila la kheri katika ndoa yako. Uwe na maisha ya furaha na amani...