I wish i didnt read this!
Jibu la swali namba moja si umelijibu katika swali namba mbili?.Namba mbili umesema mate, Je hujui mate yapo sehemu gani/ipi katika nyoka?.
Je unajua kuwa mate yako ni sumu pia kwa nyoka?.Naomba ujiulize, ni kwanini mate yetu hayatudhuru.Ukipata jibu basi utajua kwanini mate ya nyoka hayamdhuru nyoka.
Sumu ya nyoka haiwezi kumletea nyoka madhara ya aina yeyote ile.Sumu nyingine inaweza kumletea madhara.
Asalaam.