Yako Atta
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 266
- 401
Jamaa umekosea sana kutuma picha humu...sio FB huku, huku JF sisi ni mahandsome na warembo kupitiliza, huku wengi wetu n wanajeshi kwenye vitengo vikubwa, huku wengi wetu n watu wa intelijensia, sis wakuu wa JF n wafanyabiashara tunaopata exposure ya kusafir sehem mbalimbali za dunia-sas kupiga picha ilhal una magunia ya dagaa wa Mwanza nyuma ya picha lazma usiwe sehemu yetu(Kuna baadh watakuchek PM ucjal) ...huku sis tunamilik magar makal na kingine kikubwa tunajua kila kitu !! Hahhhaha waambie wenzio wanaotaka kuja huku wastume picha kama ww !! Jion njema na karibu sana MKUU MWENZETU !!