swahiba daima
Member
- Apr 28, 2015
- 97
- 10
- Thread starter
-
- #21
Uciumize nafsi yako kwa watu wasio na mpango na wewe. Jitulize jipe raha kwa namna yo yote. Jisahaulishe na upige hatuambele. Samehe ili hasira ikutoke. Maisha ni yako hakuna atayekuendeshea maisha yako. Huoni wao wanasonga mbele km vile u dont exist?? Kuna watu na viatu. Kwa ushauri zaidi ni PM.GDAY
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
nikutafuteje kizibo1???
jitie moyo upo na wanao kiunoni na ipo siku watatoka watakupa faraja ... pole bana
Njia zipo nyingi tu
jitie moyo upo na wanao kiunoni na ipo siku watatoka watakupa faraja ... pole bana
jitie moyo upo na wanao kiunoni na ipo siku watatoka watakupa faraja ... pole bana
niuze kwa pesa mkuu achakunibaniaI swear sikuwez kwa majibu yako inabid uuzwe bure
am serious .. chukua hilo na anza kufanyia kazi utaona matunda yakeLack of seriousness. Be serious
wacha banaWee mdada nakuzimia kinoma
isijekuwa umepoteza kitambulisho cha kupigia kura trh 25/10/15Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau