Pole sana ndugu hapo ni shida shida sana kupata chuo kuna dogo pcb anaushindi mzuri amekosa chuo , tukamshauli abadili kozi akaweka mpaka koz nyingine za science hadi IT pia wamemkataa sasa hivi anarudi kusoma diploma , huwa sipendi kumpa mtu habari mbaya lakini usikate tamaa sometimes miujiza hutokea , unahitaji kutumia akili sana katika kuchagua kozi pamoja na chuo.