Ntashukuru akimrejesha ndugu yangu. Iweje yeye tu kati ya viongozi wote wakubwa wafie huko ughaibuni na wanarejeshwa, afu kifo na mazishi yake utata mtupu. Hata picha tu ya balali aliyekufa isiwepo!!!!!. Yaani wauza unga wanaofia nje kama mangwea arejeshwe afu gavana ishindikane. lipo jambo. Mbona ndugu zake hakuwahi kusema yeye alidilare kuzikwa huko?????