Naiuza hii Laptop.

Naiuza hii Laptop.

bilemasome

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
48
Reaction score
9
Dell Latitude d610.
Hard disk 320GB
Duo core.

KWANINI NAIUZA?:

a)- haiwaki tatizo linaweza likawa ni RAM
( Inatumia RAM DDR2)

b)-sina adapter yake.

(Sijaipeleka kwa fundi kuifungua fungua..kwahiyo bado ina upya wake.
)

c) Nina shida na pesa.


BEI:

-Naiuza kwa Tsh. 220,000.

MAWASILIANO:

- Naomba unipigie au uniwhatsapp kwenye hii namba

0744 50 51 70.







IMG_20210911_144338_526.jpg
IMG_20210911_144410_072.jpg
IMG_20210911_144536_074.jpg
IMG_20210911_144444_542.jpg
IMG_20210911_144429_955.jpg
IMG_20210911_144410_072.jpg
IMG_20210911_144626_656.jpg
IMG_20210911_144706_710.jpg
IMG_20210911_144536_074.jpg
IMG_20210911_144530_549.jpg
IMG_20210911_144441_437.jpg
IMG_20210911_144349_336.jpg
 
D620 kwa bei hiyo na bado haijakamilika unautani wewe na pesa zetu.
 
Sorry muuzaji!?

Umeanza kutumia laptop mwaka gani!? Hilo toleo ni yale matoleo ya mwanzoni kabisa ya dell!

Kwa hiyo beo, bado sana...

Reasonable price haiwezi kuzidi 150k!
 
Sorry muuzaji!?

Umeanza kutumia laptop mwaka gani!? Hilo toleo ni yale matoleo ya mwanzoni kabisa ya dell!

Kwa hiyo beo, bado sana...

Reasonable price haiwezi kuzidi 150k!

kama inafanya kazi vizuri niletee chalinze kwa 50,000. Hakikisha unaleta pamoja na adapter, flash ya gb 30, na laptop bag.
 
Back
Top Bottom