Electronian
Member
- Sep 1, 2013
- 16
- 0
Mimi nkijana mwnye umri wa miaka 19. ambeye niliye fanikiwa kuitimu elimu ya sekondari 4m IV mwaka 2012. kwabahati sikufanikiwa kuendelea na 4m V ,lakin MUNGU alisaidia nmepata chet cha DV 4 ya 30 science. Pia nmesoma computer course lkn mpaka sasa npo mtaan sina shuhuli ya kufanya na sina uwezo ata wakujiajili na ombeni msaada wenu. 0717 079 079 allyomary63@gmail.com