Y yasini msangi Member Joined Nov 13, 2013 Posts 16 Reaction score 5 Aug 20, 2016 #1 ninakamera yangu inawaka ila haionyeshi kwenye screen ila inapiga kama kawaida , je itakuwa na tatizo gani na gharama za matengenezo ni bei gani?
ninakamera yangu inawaka ila haionyeshi kwenye screen ila inapiga kama kawaida , je itakuwa na tatizo gani na gharama za matengenezo ni bei gani?
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,549 Reaction score 41,305 Aug 21, 2016 #2 Msangi ni Camera gani na pia je ni zile za kuweka Lens na kutoa au andika jina na namba ya Camera utaeleweka...
Msangi ni Camera gani na pia je ni zile za kuweka Lens na kutoa au andika jina na namba ya Camera utaeleweka...