umeshapata?
umeshapata?
Kichwa cha habari kinaeleweka ni pm kama unayo au unajua ilipo
Mkuu hizo decoder zipo town ila haziuzwi kiholela km unavyojua wewe its like u sell marijuana
Waungwana tujuzane,kizuri kula na nduguyo,decoder hizi zina nini?Mkuu hizo decoder zipo town ila haziuzwi kiholela km unavyojua wewe its like u sell marijuana
Waungwana tujuzane,kizuri kula na nduguyo,decoder hizi zina nini?
Unaangalia channel za dstv freely kwa kuweka kifurushi cha internet cha mwezi
Dongle(Box) kwa ajili ya Kufungulia Channel yenyewe ni bei gani!? Au kwa hiyo laki2 unapata vyote!????????? Kama Ndio na Mimi nnahitaji pia. Ila inatakiwa Iwe full HD PVR. Ability to Record. 0715240140
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums