kwa mwenye kujua ni wapi naweza nikapata kits/box naona wanaita ivo kwa ajiri ya kuflash simu msaada tafadhali
Duhhh, we mkuu mi sijakupata kwa jinsi unavyouliza inaonyesha ni kama haujui hata ni jinsi gani ya kuflash na kama unajua sidhani kama ungeshindwa kujua wapi utapatakwa mwenye kujua ni wapi naweza nikapata kits/box naona wanaita ivo kwa ajiri ya kuflash simu msaada tafadhali
Ziko aina mingi sana hapa Kenya itategemea ni Simu za aina gani utataka kuflash...for more details nione kando
Ziko aina mingi sana hapa Kenya itategemea ni Simu za aina gani utataka kuflash...for more details nione kando
Acha ubinafsi kwann usitoe maelezo kwa faida ya wote
Kwani huko kando atakua anakuona Physical? Acha uchoyo wa knowledge wewe mbona akina Chief Mkwawa wanatiririka masomo tu hapa..... Au hujiamini unaogopa challenges unataka umpeleke kando ukamdanganye huko.
Hayo mabox saivi hapa Tanzania unayapata kwa hata dollar 10.Am sorry naona Huo msemo una maana tofauti hapo Tz ...hapa Kenya nione kando yammanisha ni contact