Naitafuta FURAHA niipate wapi mie Jamani.

Nenda Somalia kumependeza sasa
 
Jifunze kusamehe, ukute kutokana na mzingira uliyokulia kuja mengi uliyabeba moyoni yaliyo kua yanakuumiza, yaache yaende.......afu jikubali ulivyo.....na mpe Mungu Maisha yako mwombe akuonesha furaha yako ilipo......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana, tatizo lako linaanzia pale ambapo hausocialize na jamii. Ku-socialize na jamii kunaweza kukutoa katika msongo mkubwa wa mawazo hivyo jitahidi sana kuwa karibu na jamii mfano. Mzuri tu hapa jf ulipo unakua upo socialize hivyo kwa namna fulani unaipata kampani ya kutokaa peke yako.

Kumbuka kukaa peke yako pia ni ugonjwa na pia ndio chanzo pekee cha tatizo lako. Pia usisahau kuwa mwepesi wa kusamehe hii itaujenga moyo wako vyema na kukupa tumaini na kuijenga furaha ndani yako. Lakini ukiwa ni mtu wa hasira/ visasi unauponda moyo sana na kuipoteza furaha yako.

Kila lakheri



Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Achana huyo befriend. Anza kugegedwa kila siku na watu tofauti. Utapata furaha ambayo hujawahi ona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…