data1
Senior Member
- Apr 20, 2014
- 136
- 3
- Thread starter
- #21
Maneno kama haya alishayasema Wassira aka Babu Jinga kuwa Chadema ingekufa kabla ya kuisha mwaka 2013. Leo hii tunakata thelusi moja ya mwaka 2014 na Chadema inasonga mbele huku sasa ushirikiano na CUF pamoja na NCCR ukiwa mbioni.
BMK wamewaacha waendelee wenyewe na mtu akiangalia Bunge hilo utadhani ni kikao cha wanandugu kujadili mirathi ya marehemu aliyekuwa kafa bila kuacha mali bali madeni.
Sent from my iPad using JamiiForums
Ukisema chadema inakufa mwaka kesho au kesho kutwa! utasubiri sana... lakini kama chadema ilikuwa inaenda speed 120km/h sasa hivi inaenda speed 60km/h na kwanza mlima ndo umeanza! sasa sijui watasawazisha huu mlima kwanza au watendelea kuupanda kwa speed 60km/h.