Naiona Simanjiro Mpyaaaaa

Nali

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
1,155
Reaction score
813
Hii ni baada ya tukio lililokua likisubiriwa kwa Muda mrefu na wanasimanjiro kwa JAMES OLEMILLYA kuchukua Leo fomu ya kugombea Jimbo la Simanjiro.

Hii ni ishara njema na nyota njema huonekana asubuhi.

Kila lakheri Kamanda, kila lakheri Mwana mwema na mzalendo wa kweli anaeguswa na mateso wanayopata wanasimanjiro kutokana na mifumo dhaifu, kandamizi, na ya kishetani ya ccm na mawakala wake kama Sendeka.

Imekwisha!!!!!!
 

Attachments

  • 1440080247504.jpg
    32.7 KB · Views: 428
  • 1440080269701.jpg
    25.8 KB · Views: 380
  • 1440080319070.jpg
    49 KB · Views: 386
Hakika nenda kamanda tuko nyuma yako kwa maombi na support zozote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…