walimu wazidiwa na vipindi sekondari kwani halmashauri zingine.zimelitekeleza zoezi la uhamisho bila utaalamu kabisa na sijui NI hujuma.za.makusudi ama.laa
hata timu ya mpira huwa ina hakiba ya wachezaji kwa ajilI ya dharura lakin kwa hiki kInacho fanywa sasa kwenye elimu sehemu nying hawajaacha hakiba kabisa yaani hadi wameacha upungufu sekondari
shule ya ******* SEKONDARI. Ina walimu 11 na ina wanafunzi 349 na Kati ya walimu hao walimu wanne wameshapewa barua kwenda primary.
kuna kitu sijaelewa hapa mwalimu akiugua maana yake watoto hawasomi somo Hilo
walimu wakihama au kistaafu shule.hiyo watoto hawasomi
mwalimu akiwa.kwenye likizo ya uzazI watoto hawasomi kwa mda huo
watoto wakiongezeka katika usajili hasa wa kidato cha kwanza mwakani hasa kwa hili la elimu bure ambalo litazidi kuongeza idadi ya wanafunzi sekondari kwa kuzingatia idadi ya watoto waliopo shule za.msingi
sijaelewa lengo la hiki wanacho kiita kiwashusha walimu wa sekondari kufundisha primary
bado utafiti unaendelea maana hadi sasa walimu mashuleni hawafundishi kabisaaa na hawana hamu ya kufundisha sababu hawaelewi kesho Yao maana hadi sasa maofisa wanawatisha kila Mara Mara ntakutoa wewe Mara Yule hadi hamu ya Kazi haipo
lakin pia bunge limedanganywa pia na waziri husika na wizara yake NI waongo maana walicho ambiwa NI tofauti na kinacho fanyika na wanao hamishwa si wale walio ongelewa na waziri bungeni hasa kwa utafiti wa shule ambazo tayari walimu barua wamesha pewa
si kweli kwamba wanao hamishwa NI walio jiendeleza habari hizi serikali imedanganya. bunge na wananchi kwa ujumla Bali wamehamishwa ambao hawakuwahi kuwa walimu primary
serikali inaendeshwa kwa uongo na usanii mwingi na ujanja ujanja lakin hakuna faida Bali NI hasara tupu kwa taifa hasa kwa sababu inongozwa na watu wasio elewa uongozi bora.