Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Walimu wazidiwa na vipindi sekondari kwani halmashauri zingine zimelitekeleza zoezi la uhamisho bila utaalamu kabisa na sijui ni hujuma za makusudi ama laa.
Hata timu ya mpira huwa ina hakiba ya wachezaji kwa ajili ya dharura lakini kwa hiki kinachofanywa sasa kwenye elimu sehemu nyingi hawajaacha akiba kabisa yaani hadi wameacha upungufu Sekondari
Shule ya ******* Sekondari ina walimu 11 na ina wanafunzi 349 na kati ya walimu hao walimu wanne wameshapewa barua kwenda shule ya msingi.
Kuna kitu sijaelewa hapa mwalimu akiugua maana yake watoto hawasomi somo hilo.
Walimu wakihama au kustaafu shule hiyo watoto hawasomi.
Mwalimu akiwa kwenye likizo ya uzazi watoto hawasomi kwa muda huo.
Watoto wakiongezeka katika usajili hasa wa kidato cha kwanza mwakani hasa kwa hili la elimu bure ambalo litazidi kuongeza idadi ya wanafunzi sekondari kwa kuzingatia idadi ya watoto waliopo shule za msingi.
Sijaelewa lengo la hiki wanachokiita kinawashusha walimu wa sekondari kufundisha shule za msingi.
Bado utafiti unaendelea maana hadi sasa walimu mashuleni hawafundishi kabisaaa na hawana hamu ya kufundisha sababu hawaelewi kesho yao maana hadi sasa maofisa wanawatisha kila mara mara ntakutoa wewe mara yule hadi hamu ya kazi haipo
Lakin pia Bunge limedanganywa pia na waziri husika na wizara yake ni waongo maana walichoambiwa ni tofauti na kinachofanyika na wanaohamishwa si wale walioongelewa na waziri bungeni hasa kwa utafiti wa shule ambazo tayari walimu barua wameshapewa.
Si kweli kwamba wanaohamishwa ni waliojiendeleza habari hizi Serikali imedanganya Bunge na wananchi kwa ujumla bali wamehamishwa ambao hawakuwahi kuwa walimu shule ya msingi.
Serikali inaendeshwa kwa uongo na usanii mwingi na ujanja ujanja lakini hakuna faida bali ni hasara tupu kwa taifa hasa kwa sababu inaongozwa na watu wasioelewa uongozi bora.
Hata timu ya mpira huwa ina hakiba ya wachezaji kwa ajili ya dharura lakini kwa hiki kinachofanywa sasa kwenye elimu sehemu nyingi hawajaacha akiba kabisa yaani hadi wameacha upungufu Sekondari
Shule ya ******* Sekondari ina walimu 11 na ina wanafunzi 349 na kati ya walimu hao walimu wanne wameshapewa barua kwenda shule ya msingi.
Kuna kitu sijaelewa hapa mwalimu akiugua maana yake watoto hawasomi somo hilo.
Walimu wakihama au kustaafu shule hiyo watoto hawasomi.
Mwalimu akiwa kwenye likizo ya uzazi watoto hawasomi kwa muda huo.
Watoto wakiongezeka katika usajili hasa wa kidato cha kwanza mwakani hasa kwa hili la elimu bure ambalo litazidi kuongeza idadi ya wanafunzi sekondari kwa kuzingatia idadi ya watoto waliopo shule za msingi.
Sijaelewa lengo la hiki wanachokiita kinawashusha walimu wa sekondari kufundisha shule za msingi.
Bado utafiti unaendelea maana hadi sasa walimu mashuleni hawafundishi kabisaaa na hawana hamu ya kufundisha sababu hawaelewi kesho yao maana hadi sasa maofisa wanawatisha kila mara mara ntakutoa wewe mara yule hadi hamu ya kazi haipo
Lakin pia Bunge limedanganywa pia na waziri husika na wizara yake ni waongo maana walichoambiwa ni tofauti na kinachofanyika na wanaohamishwa si wale walioongelewa na waziri bungeni hasa kwa utafiti wa shule ambazo tayari walimu barua wameshapewa.
Si kweli kwamba wanaohamishwa ni waliojiendeleza habari hizi Serikali imedanganya Bunge na wananchi kwa ujumla bali wamehamishwa ambao hawakuwahi kuwa walimu shule ya msingi.
Serikali inaendeshwa kwa uongo na usanii mwingi na ujanja ujanja lakini hakuna faida bali ni hasara tupu kwa taifa hasa kwa sababu inaongozwa na watu wasioelewa uongozi bora.