Naiombea Simba leo ifungwe

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,886
Reaction score
17,588
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa kuisaidia ccm kutawala nchi lazima simba ifungwe leo
 
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa kuisaidia ccm kutawala nchi
Kunywa maji mengi, Pata na muda wa kupumzika. Utanishukuru baadae
 
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa kuisaidia ccm kutawala nchi
Naungana na wewe Tena wafungwa kipigo Cha AIBU
 
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa kuisaidia ccm kutawala nchi
Matumizi mabaya ya maombi. Hakuna haja ya kuomba, litafungwa tu.
 
Kwahiyo Yanga wao hukuwaombea kufungwa kwasababu waliweka post ya kuomboleza waliouawa October 29-30?
 
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa kuisaidia ccm kutawala nchi
Mkuu mungu wako kakusikia
 
Jaribu kwa na huruma; utaua watu kwa presha
 
Maombi yamefika kiti cha enzi.

Leta ombi lingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…