Naichukia demokrasia ya Tanzania, tena siipendi kabisa

urio f

JF-Expert Member
Mar 31, 2017
302
271
Demokrasia ya nini Tanzania. Ni upuuzi mtupu. Ningekuwa na uwezo ningeondoa kabisa kitu kinachoitwa demokrasia Tanzania. Yapo majamaa yalishinikiza mchakato wa katiba mpya mpaka Kikwete akakubali. Baadaye hayo hayo majamaa yakaikataa. Mabilioni ya Tshs yakawa yametumika bila sababu.

Matokeo yake uchaguzi mkuu 2015 nusura usifanyike. Majamaa yakaanza kumcheka Kikwete na kumwita rais dhaifu. Yakasema yanataka rais wa maamuzi magumu. Amekuja Magufuli wa maamuzi magumu yanasema yanataka mpole.

Yalisema Kikwete anasafiri mno, amekuja asiyesafiri yanasema rais huyu mbona hasafiri. Yalimsema Lowassa fisadi baadaye yalipomchukua menyewe yakasema mbona msafi mno. Kitu kizuri cha Tanzania yanasema kibaya. Yaani vurugu tu. Kimsingi Tanzania hatujakomaa kwa Demokrasia.Tutakuwa tayari miaka 200 baadaye. Subiri niwe rais maana nina mpango wa kuwa rais na ni lazima niwe.

Hakika nafuta Demokrasia Tanzania.
 
Tanzania hakuna demkrasia

Kina magufuli wanatamani wabaki na ccm tu

Naona hata akili zako zinakutuma ivo
Kwasabab uwezo wako wa kufikiri umeishia apo
Bora tukose demokrasia kuliko upuuzi tunaoushuhudia.Vurugu tu.Magufuli afute kabisa hiyo demokrasia.Asipofuta nitakapoingia Mimi ikulu nafuta kabisa
 
Demokrasia ya nini Tanzania.Ni upuuzi mtupu.Ningekuwa na uwezo ningeondoa kabisa kitu kinachoitwa demokrasia Tanzania.Yapo majamaa yalishinikiza mchakato wa katiba mpya mpaka Kikwete akakubali.Baadaye hayo hayo majamaa yakaikataa.Mabilioni ya Tshs yakawa yametumika bila sababu.Matokeo yake uchaguzi mkuu 2015 nusura usifanyike.Majamaa yakaanza kumcheka Kikwete na kumwita rais dhaifu.Yakasema yanataka rais wa maamuzi magumu.Amekuja Magufuli wa maamuzi magumu yanasema yanataka mpole.Yalisema Kikwete anasafiri mno,amekuja asiyesafiri yanasema rais huyu mbona hasafiri!.Yalimsema Lowassa fisadi baadaye yalipomchukua menyewe yakasema mbona msafi mno.Kitu kizuri cha Tanzania yanasema kibaya.Yaani vurugu tu.Kimsingi Tanzania hatujakomaa kwa Demokrasia.Tutakuwa tayari miaka 200 baadaye.Subiri niwe rais maana nina mpango wa kuwa rais,na ni lazima niwe.Hakika nafuta Demokrasia Tanzania.
Amia Usabau china mnafiki mkubwa
 
Huyu ni mnafiki aende china na russia au usa. Kama ipo democ donald asingekuwa Rais. Acha umbulula.
 
Huyu ni mnafiki aende china na russia au usa. Kama ipo democ donald asingekuwa Rais. Acha umbulula.
Watu hamjajua mnachokitafuta katika demokrasia.Badala ya kutuletea maendeleo,demokrasia sasa kimekuwa chombo cha kutufanya mafukara kabisa na kutugawanya.Umoja unakufa.Baada ya muda mfupi tutaanza kampeni za kikabila kama nchi Jirani wanavyofanya.Naona sasa kuna dalili ya malumbano kati ya wachaga na wasukuma.
 
Demokrasia ya nini Tanzania.Ni upuuzi mtupu.Ningekuwa na uwezo ningeondoa kabisa kitu kinachoitwa demokrasia Tanzania.Yapo majamaa yalishinikiza mchakato wa katiba mpya mpaka Kikwete akakubali.Baadaye hayo hayo majamaa yakaikataa.Mabilioni ya Tshs yakawa yametumika bila sababu.Matokeo yake uchaguzi mkuu 2015 nusura usifanyike.Majamaa yakaanza kumcheka Kikwete na kumwita rais dhaifu.Yakasema yanataka rais wa maamuzi magumu.Amekuja Magufuli wa maamuzi magumu yanasema yanataka mpole.Yalisema Kikwete anasafiri mno,amekuja asiyesafiri yanasema rais huyu mbona hasafiri!.Yalimsema Lowassa fisadi baadaye yalipomchukua menyewe yakasema mbona msafi mno.Kitu kizuri cha Tanzania yanasema kibaya.Yaani vurugu tu.Kimsingi Tanzania hatujakomaa kwa Demokrasia.Tutakuwa tayari miaka 200 baadaye.Subiri niwe rais maana nina mpango wa kuwa rais,na ni lazima niwe.Hakika nafuta Demokrasia Tanzania.


Sijui umeandiika nini?!
 
Bora tukose demokrasia kuliko upuuzi tunaoushuhudia.Vurugu tu.Magufuli afute kabisa hiyo demokrasia.Asipofuta nitakapoingia Mimi ikulu nafuta kabisa
You are young and cocky thats why, you think you are infallible, you think everything is possible, you think you cant fail!
Thats pretty good , thats normall! At your age its normal to dream you as the president of united states and you are right!

But when you come across bitter realities of life, a million stambling block on your way then you grow up, you wake up from those fancy dreams and realise being a Tanzanian is challenging.
Its challenging to put food on the table for your family day in day out , 7 days a week, 30 or 31 days a month, 365 days a year , non stop!
Its challenging to raise a nice and happy family!
Leave alone raising to be a star that will kill democracy in this country.

Democracy is a whole different thing brother!
Its a monster that knows how to fight for itself. Despite repeated attempts by people from different walks of life to crash it, none of those won the battle against democracy.
We dont make democracy, Democracy makes us!
STOP DAY DREAMING
 
Ww huzungumuzii kuichukia demokrasia Ya tanzania unachochukia ww ni vyama vya upinzani hivyo maada yako ni mfuu wala hukustahili kuandika pumba hizo andika vitu vinavyoeleweka!
 
Demokrasia ya nini Tanzania.Ni upuuzi mtupu.Ningekuwa na uwezo ningeondoa kabisa kitu kinachoitwa demokrasia Tanzania.Yapo majamaa yalishinikiza mchakato wa katiba mpya mpaka Kikwete akakubali.Baadaye hayo hayo majamaa yakaikataa.Mabilioni ya Tshs yakawa yametumika bila sababu.Matokeo yake uchaguzi mkuu 2015 nusura usifanyike.Majamaa yakaanza kumcheka Kikwete na kumwita rais dhaifu.Yakasema yanataka rais wa maamuzi magumu.Amekuja Magufuli wa maamuzi magumu yanasema yanataka mpole.Yalisema Kikwete anasafiri mno,amekuja asiyesafiri yanasema rais huyu mbona hasafiri!.Yalimsema Lowassa fisadi baadaye yalipomchukua menyewe yakasema mbona msafi mno.Kitu kizuri cha Tanzania yanasema kibaya.Yaani vurugu tu.Kimsingi Tanzania hatujakomaa kwa Demokrasia.Tutakuwa tayari miaka 200 baadaye.Subiri niwe rais maana nina mpango wa kuwa rais,na ni lazima niwe.Hakika nafuta Demokrasia Tanzania.
Weee umetumwa kumbe.....ongea vitu vya Mashiko, uzalendo wa dhati ili ku create the best future kwa taifa...think in deep
 
Demokrasia ya nini Tanzania.Ni upuuzi mtupu.Ningekuwa na uwezo ningeondoa kabisa kitu kinachoitwa demokrasia Tanzania.Yapo majamaa yalishinikiza mchakato wa katiba mpya mpaka Kikwete akakubali.Baadaye hayo hayo majamaa yakaikataa.Mabilioni ya Tshs yakawa yametumika bila sababu.Matokeo yake uchaguzi mkuu 2015 nusura usifanyike.Majamaa yakaanza kumcheka Kikwete na kumwita rais dhaifu.Yakasema yanataka rais wa maamuzi magumu.Amekuja Magufuli wa maamuzi magumu yanasema yanataka mpole.Yalisema Kikwete anasafiri mno,amekuja asiyesafiri yanasema rais huyu mbona hasafiri!.Yalimsema Lowassa fisadi baadaye yalipomchukua menyewe yakasema mbona msafi mno.Kitu kizuri cha Tanzania yanasema kibaya.Yaani vurugu tu.Kimsingi Tanzania hatujakomaa kwa Demokrasia.Tutakuwa tayari miaka 200 baadaye.Subiri niwe rais maana nina mpango wa kuwa rais,na ni lazima niwe.Hakika nafuta Demokrasia Tanzania.

Ukisema Demokrasia, una maanisha nini? What is democracy to you? In other words, ni tafsiri ipi ya demokrasia unayotumia, ambayo inakufanya uichukie na kutamani kuifuta. Ukisema unataka kufuta demokrasia Tanzania, unataka kufuta nini haswa?
 
You are young and cocky thats why, you think you are infallible, you think everything is possible, you think you cant fail!
Thats pretty good , thats normall! At your age its normal to dream you as the president of united states and you are right!

But when you come across bitter realities of life, a million stambling block on your way then you grow up, you wake up from those fancy dreams and realise being a Tanzanian is challenging.
Its challenging to put food on the table for your family day in day out , 7 days a week, 30 or 31 days a month, 365 days a year , non stop!
Its challenging to raise a nice and happy family!
Leave alone raising to be a star that will kill democracy in this country.

Democracy is a whole different thing brother!
Its a monster that knows how to fight for itself. Despite repeated attempts by people from different walks of life to crash it, none of those won the battle against democracy.
We dont make democracy, Democracy makes us!
STOP DAY DREAMING
.I think you r young too.During Nyerere's regime,this kind of rubbish was not there.But also I don't entertain failure.I have always got what I wanted.Please wait and see.
 
Back
Top Bottom