EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Please somebody tell me this guy was not vaccinated
hatukutunakufvmgkgkgifvpp.,s😇Tukichanja tunakufa hatufi?
Watu wa marukanga covid haiwasumbui sana,ingekua hivyo wote wangepukutika...Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.
Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.
Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.
Mzungu wake sijui atabaki na nani
Ana mijengo mikubwa sana Kigamboni. Hela za kutosha, lakini mama yake anaishi maisha ya tabu.wazazi wana Baraka na laana katika ndimi zao.
kuna kitu hapa
Rip Marehemu 😢
Roho mbaya iko ccm tena roho mbaya kuliko ya shetani,huruma yako peleka lumumba...ccm wauaji halafu unataka waonewe huruma ili iweje dawa ya moto ni motoNakuapia, hata hajaangalia. Na hata kama ameangalia basi walipokuwa wanaoneshwa 'mabeberu' ye alikuwa anaangalia pembeni haraka ili asiwaone na hatimae ajipatie uhalali wa kusema alichosema. Ndo tulipofika hapo mkuu. Ukisikia anayekukimbiza anaanza kuporomosha matusi baxi we ongeza mwendo ujue tayari pumzi zinamuishia huyo.....mama aendelee kufanya yake kwa speed zaidi kwani haters wanakuwa mapunguani tu siku baada ya siku.
"Hutaki unaacha", wewe ni wakiume?Hayawani yoyote akifa ni sherehe. Hutaki unaacha.
Pumzika kwa amani mwana mwema wa mama Tanganyika. Umeondoka mapema sana! Vous allez nous manquer!Taarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.
Marehemu alikuwa Mbunge wa Ngorongoro na amekuwa Naibu Waziri mara 4 katika Wizara tofauti.
Amefariki majira ya saa 4 kasorobo usiku huu.
View attachment 1955155
akilineneUkiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.
Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.
Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.
Mzungu wake sijui atabaki na nani
"umeoteshwa" sio? nani atavuna sasa?HAWEZI KUWA HUYU....
NARUDIA, HAWEZI KUWA HUYU HATA KIDOGO....
JUZI KUAMKIA HANA NIMEFUNULIWA KWA NJIA YA NDOTO KWAMBA TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI MZITO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOFANYA TUPEWE SIKU KADHAA ZA MAOMBOLEZO...
TAIFA LIMEINGIA KWENYE SIMANZI ILIYOSABABISHA MABADILIKO MENGINE YA UONGOZI...
HALAFU MNIAMBIE ETI NI NAIBU WAZIRI?!
NO WAY... SOMETHING IS COMING, I DON'T GIVE A SHIT WHO OR WHEN BUT IT'S COMING!!
ALL IN ALL, REST IN PEACE WILLIAM OLE...
BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE... AMEEN!!
Harvester...."umeoteshwa" sio? nani atavuna sasa?
Rip William.Taarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.
Marehemu alikuwa Mbunge wa Ngorongoro na amekuwa Naibu Waziri mara 4 katika Wizara tofauti.
Amefariki majira ya saa 4 kasorobo usiku huu.
View attachment 1955155
1.Aliugua ini na kisukariAliumwa nini?
Aliugua kwa muda gani?
Alikua Mh mbunge wa kuchaguliwa ama wa kuteuliwa?
Ebu mwenye historia yake akuje hapa mbele kwanza.
R.i.P Naibu waziri
Kumbe amezitafunatafuna kodi zetu eeh.....!1.Aliugua ini na kisukari
2.Mbunge wa kuchaguliwa jumbo la NGORONGORO
3.Alikuwa mjumbe wa bunge la katiba kupitia asasi za kiraia.
4.2015 akagombea ubunge
2015 Magufuli akamteua kuwa Naibu waziri wa Uvuvi,badae Elimu
2020 Naibu waziri mambo ya nje
2021 Naibu waziri Ofisi ya waziri mkuu uwekezaji
Kitaaluma ni mwanasheria.
Yeah kusoma kuzuriKumbe amezitafunatafuna kodi zetu eeh.....!