Brightdeemed
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 291
- 137
Mheshimiwa Rais hapa ndipo orientation inahitajika si lazima kwenda Ngurudoto bali hapo DSM na iwe ya siku moja. Mimi naungana nawe kabisa ulivyofanya Ziara ya kushtukiza naamini ulikuwa da lengo maalumu, ulikuwa na data za kutosha na kweli ziara zakozimeleta impact kwani ulikuwa unatoa ujumbe kwa Wafanyakazi kuhusu uwajibikaji ukiwa pamoja na uwepo kazini muda wa kazi.
Sasa Seriously, kama ni kweli,Clinic ya Dr mwaka ndio kipaumbele cha wizara yako??????????
Anahudumia watu zaidi ya 60 kwa siku, hakuna alie thibitishwa kupona ugumba au kuondokewa na uvimbe, tokea ameanza kuhudumia unadhani ame dhuru maisha ya Watanzania wangapi kiafya na kiuchumi wewe kwako sio kipaumbele kwakuwa hakuna dada ama mama yako aliye pitia kwa mtu huyu