Naibu Waziri Exaud Kigahe awasili Ofisi za Wizara mtumba Dodoma

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe (Mb) akikabidhiwa maua ya pongezi na watumishi wa Wizara hiyo alipowasili katika Ofisi za Wizara, Mtumba Dodoma, Julai 18, 2023 , baada ya kuapishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuiongoza Wizara hiyo.​

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) akiwa na Naibu Waziri Exaud Kigahe waliongea na Menejimenti pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizochini ya Wizara kuhusu mwelekeo wa kuendeleza sekta ya viwanda na biashara ili kukuza uchumi.

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akiwa na Naibu Waziri, Exaud Kigahe, Menejimenti na Wakuu wa Taasisi zilizochini ya Wazara walitembelea jengo la Wizara 18/7/2023 kujionea maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo linalotarajia kukamilika Oktoba 2023.

F1VRVKOX0AEe9Vq.jpg
F1VRVKSWIAA0Ru7.jpg
F1VpVAcWIAAGrAz.jpg
F1VpVATXgAArH8j.jpg
F1VpVASWAAI_I1j.jpg
F1VubpHX0AAlKoD.jpg
F1VubpGWYAAxxWP.jpg
F1Vubo9WAAMixse.jpg
 
Back
Top Bottom