Naibu Spika wa Bunge

Naibu Spika wa Bunge

BabaKasheshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
211
Reaction score
45
Ndugu wana JF binafsi yangu naona uwezo wa naibu spika ni mdogo kulinganisha na majukumu yake bungeni.

Achilia mbali kwa hili la leo , vikao vingi anavyoendesha hatoi maamuzi ya busara sana.

Huu ni mtazamo wangu, je wana JF nini maoni yenu ?
 
Siku mingi huyu naibu spika hafai kwalolote na uwezo wake mdogo sana.
 
Ivi hamna mada nyingine tukaijadili hapa jf. kuliko kumiza vichwa kujadili mr. never told..nikisikia ndugai tumbo huchafuka aagh!
 
tatizo ni moja tu, maspika wetu wanatumiwa na maccm. they are hopeless, hakika historia itawahukumu! Wangemrudisha Sitta waone.
 
no lazima watanzania tuache ushabiki ! naibu spika amesha jifunza namna ya kuwavumilia walio tofauti na fikra zake. tabia mbaya ya wabunge walioonesha leo wakidhanini ushujaa binafsi inanikera .. hii ni sawa na taifa stars kufungwa bao moja wakaamua kutoka uwanjani .. iweje umlazimishe kiongozi kutoa hukumu juu ya suala fulani na hata kama angelitoa ruling yake bado mpango wa kutoka nje ungeengelea tu. huu ni ushamba wa kulazimisha hoja. wabunge wetu wanadhani kuwa mtu akiwa chama cha ccm lazima fikra na matendo yake yote yatakuwa kama ccm inavyotaka ... kutoka nje si ustaarabu nadhani hawajui kuwa kwa kufanya vile wanapoteza muda wa serikali iliyoko madarakani makusudi.. naomba kesho wabunge walio tayari waendelee !
 
Naibu spika sie mtu wakumlaumu kabisa yupo pale kwa maslahi ya chama sasa unataka afanye nini au unataka atolewe kam SIX alivyo kuwa fair kwa wapizani yule mzee analinda chakula yake isije kumwagika tafakari
 
Tatizo ni maslahi na watoto waende shule na choo.Akifanya kinyume cha matakwa ya bosi wake ni msiba kwake na familia yake.
 
Kwa uwezo wake labda awe mweka hazina wa kikundi cha kwaya
 
Ndugu wana JF binafsi yangu naona uwezo wa naibu spika ni mdogo kulinganisha na majukumu yake bungeni. Achilia mbali kwa hili la leo , vikao vingi anavyoendesha hatoi maamuzi ya busara sana. Huu ni mtazamo wangu, je wana JF nini maoni yenu ?

Umechelewa sana kuliona hili!
 
Back
Top Bottom